Kutoka 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Basi, Yoshua akafanya kama vile Musa alivyosema, akaenda kupigana na Waamaleki. Musa, Haruni na Huri wakapanda juu ya kilele cha kilima. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kisha muda, mikono ya Musa ikachoka. Kwa hiyo Haruni na Huri wakatwaa jiwe wakaliweka karibu na Musa naye akaikaa. Kisha wakaishika na kuiinua mikono yake. Mumoja akauinua mukono wa kuume na mwingine mukono wa kushoto. Hivyo mikono ya Musa ikabaki imara ikiwa imeinuliwa juu mpaka jua lilipotua.