Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Basi, Yoshua akafanya kama vile Musa alivyosema, akaenda kupigana na Waamaleki. Musa, Haruni na Huri wakapanda juu ya kilele cha kilima.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 17:10
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Azuba alipokufa, Kalebu akaoa Efurata aliyemuzalia Huri.


Ikakuwa wakati wote Musa alipoinua mukono wake juu, Waisraeli walishinda na alipouteremusha, Waamaleki walishinda.


Lakini kisha muda, mikono ya Musa ikachoka. Kwa hiyo Haruni na Huri wakatwaa jiwe wakaliweka karibu na Musa naye akaikaa. Kisha wakaishika na kuiinua mikono yake. Mumoja akauinua mukono wa kuume na mwingine mukono wa kushoto. Hivyo mikono ya Musa ikabaki imara ikiwa imeinuliwa juu mpaka jua lilipotua.


Musa aliwaambia wale wazee: Mutungojee hapa mpaka tutakapowarudilia. Haruni na Huri wako pamoja nanyi. Yeyote anayekuwa na tatizo awaendee wao.


Mimi nimemuchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, wa kabila la Yuda


Muwafundishe kutii maneno yote niliyowaagiza. Na mujue kwamba mimi ni pamoja nanyi siku zote hata mwisho wa dunia.”


Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.


Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”


Musa mutumishi wa Yawe aliipewa amri hii, naye Musa akamwamuru Yoshua ambaye aliitimiza. Yoshua alitimiza kila jambo Yawe alilomwamuru Musa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ