5 Lakini siku ya sita, wakati watakapotayarisha chakula walichokusanya, kipimo kile kitakuwa mara mbili ya chakula cha kila siku.”
Basi, Musa na Haruni wakawaambia watu wote wa Israeli: “Magaribi, mutatambua kwamba Yawe ndiye aliyewatoa katika inchi ya Misri!