Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 16:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Basi, Waisraeli wote pamoja wakamunungunikia Musa na Haruni kule katika jangwa. Wakasema hivi:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 16:2
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mbele ya kulala usiku, wanaume wote wa muji wa Sodoma, vijana na wazee, bila kubaki hata mumoja, wakazunguka nyumba ya Loti.


Lakini bila kukawia walisahau matendo yake, wakaacha kutegemea shauri lake.


Walinungunika ndani ya hema zao, wala hawakumusikiliza Yawe.


Babu zetu walipokuwa Misri, hawakujali matendo ya ajabu ya Mungu; hawakukumbuka wingi wa wema wake, lakini walimwasi kando ya bahari Nyekundu.


Wakamwambia Musa: “Hakukuwa makaburi ya kutosha katika inchi ya Misri hata ukatuleta tukufie huku katika jangwa? Kwa nini umetufanya tutoke katika inchi ya Misri?


Basi, watu wote wakamunungunikia Musa wakisema: “Sasa tutakunywa nini?”


Lakini wote walikuwa na kiu, wakamunungunikia Musa wakisema: “Kwa nini ulitutoa kule Misri utuue kwa kiu, sisi wote na watoto wetu na mifugo yetu?”


Basi, wakawaambia Musa na Haruni: “Yawe aone jambo hili na kuwahukumu ninyi kwa sababu mumetufanya sisi kuwa chukizo kwa mufalme wa Misri na wakubwa wake. Ninyi mumewapa sababu ya kutuua.”


hakuna hata mumoja wao ambaye amekwisha kuuona utukufu wangu na vitambulisho vyangu nilivyofanya Misri na katika jangwa kisha akazidi kunijaribu mara hizi zote bila ya kutii sauti yangu,


Musinungunike kama vile wamoja kati yao walivyofanya hata malaika mwangamizaji akawateketeza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ