4 “Magari na majeshi ya mufalme wa Misri ameyatumbukiza ndani ya bahari; majemadari wake wachaguliwa wamezama katika bahari Nyekundu.
Ulipowakaripia, ee Mungu wa Yakobo, farasi na wapanda-farasi walipooza.
Miriamu akawaongoza kwa kuimba: “Mumwimbie Yawe maana ameshinda kwa utukufu. Farasi na mupanda-farasi wake amewatupa ndani ya bahari.”
Ninakutumia kwa kuponda farasi na waaskari wapanda-farasi, magari ya kukokotwa na watembezaji wake.