Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 14:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Maana, mufalme wa Misri atafikiri: ‘Hao Waisraeli wanatangatanga, nalo jangwa limewazuia wasiweze kutoka.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 14:3
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nikiikaa au nikisimama, wewe unajua; wewe unajua kila kitu ninachofikiri juu yake.


Mbele sijasema neno lolote, wewe, ee Yawe, unalijua kabisa.


Ee Yawe, angalia ginsi waadui zangu wanavyokuwa wengi. Ni wengi sana hao wanaonishambulia.


na kusema: “Mungu amemwachilia; mumufuate na kumukamata, kwa maana hakuna wa kumwokoa!”


“Uwaambie Waisraeli warudi nyuma, wapige kambi mbele ya Pi-Hahiroti, kati ya muji wa Migdoli na bahari Nyekundu, mbele ya Bali-Sefoni. Mutapiga kambi mbele yake karibu na bahari.


Halafu mimi nitafanya moyo wa mufalme wa Misri kuwa mugumu, naye atawafuatilia. Nami nitajipatia utukufu kwa kumwangamiza yeye na jeshi lake. Halafu Wamisri watatambua kwamba mimi ni Yawe.” Basi, Waisraeli wakafanya hivyo.


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Wewe ndiwe niliyesema habari zako hapo zamani kwa njia ya watumishi wangu manabii wa Israeli, ambao walitabiri nyakati zile kwamba nitakuleta kusudi ushambulie watu wa Israeli.


Hivi walitimiza mambo uliyokuwa umekusudia tangu zamani kwa uwezo wako na kwa mapenzi yako.


Watakapopatwa na hasara nyingi na taabu, wimbo huu utakuwa kama ushuhuda maana hautasahauliwa na wazao wao. Hata sasa, mbele sijawapeleka katika inchi niliyoapa kuwapa, ninajua mipango ambayo wanapanga.”


Watu wa Gaza walipoambiwa kwamba Samusoni yuko kule, wakalizunguka eneo hilo na kumuvizia kwenye mulango wa muji usiku kucha. Wakakaa kimya kule kwenye mulango usiku wote wakifikiri kwamba wanaweza kungojea mpaka mapambazuko wapate kumwua.


Muchunguze kila upande mujue pahali anapojificha, kisha muniletee habari kamili. Halafu nitakwenda pamoja nanyi na ikiwa angali kule, basi, mimi nitamutafuta kati ya maelfu yote ya watu wa Yuda.”


Saulo alipoambiwa kwamba Daudi amekwisha fika Keila, akasema: “Mungu amemutia katika mikono yangu maana amejifungia mwenyewe kwa kuingia katika muji wenye milango yenye vifungio.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ