1 Yawe alimwambia Musa:
Siku hiyohiyo Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri kwa makundi.
munapaswa kumuwekea Yawe kila muzaliwa wenu wa kwanza mwanaume. Kila muzaliwa wa kwanza dume wa mifugo yenu atakuwa wa Yawe.
“Unitakasie wazaliwa wote wa kwanza, maana wazaliwa wote wa kwanza wa Waisraeli ni wangu, ikuwe wanaume au wanyama.”
Kisha, Yawe akamwambia Musa: