Kutoka 12:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
34 Basi, Waisraeli wakatwaa unga wao uliopondwa mbele haujatiwa chachu na mabakuli yao ya kupondea mikate walikuwa wamezifunga kwa nguo na kubeba juu ya mabega.
Yesu akawaambia tena mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate hata yote ikapata kuvimba.”
Kwa sababu walikuwa wameondoka Misri kwa haraka, hawakuweza kutayarisha chakula cha safari, ila tu ule unga uliopondwa bila kutiwa chachu. Basi, wakapika mikate isiyotiwa chachu.