26 Kila wakati watoto wenu watakapowauliza: ‘Jambo hili lina maana gani?’,
Sifa za matendo yako zitaelezwa kwa kizazi hata kizazi, watu watatangaza matendo yako makubwa.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora.
na ninyi mupate kuwaelezea watoto wenu na wajukuu wenu jinsi nilivyowachekelea Wamisri kwa kuonyesha vitambulisho vile kati yao. Hivyo mutatambua kwamba mimi ni Yawe.”
Mutakapoingia katika inchi ile ambayo Yawe atawapa, kama alivyoahidi, munapaswa kulitimiza.
Munara wa wingu wakati wa muchana na munara wa moto wakati wa usiku haikukosekana kuwatangulia Waisraeli.
Wanaokuwa wazima ndio wanaokushukuru, kama na mimi ninavyofanya leo. Wababa wanajulisha watoto wao uaminifu wako.
Na ninyi wababa musiwakasirikishe watoto wenu. Lakini muwalee na kuwaonya, mukiwatolea mashauri yanayotoka kwa Bwana.
Muwafundishe watoto wenu maneno haya mukiyazungumuzia munapoikaa katika nyumba zenu, munapotembea, munapolala na munapoamuka.
Mukumbuke siku zilizopita, mufikiri miaka ya vizazi vingi. Muulize baba zenu nao watawajulisha, muulize wakubwa wenu nao watawaelezea.
“Siku zinazokuja, mwana wako atakapokuuliza: ‘Maana ya maagizo, masharti na maamuzi ambayo Yawe, Mungu wetu, aliwaamuru kutenda ni nini?’
na kuwafundisha kwa uangalifu watoto wenu. Mutawaelezea mutakapokuwa munakaa katika nyumba au munapokuwa katika safari au munapolala au munapoamuka.