Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kutakuwa kilio kikubwa katika inchi yote ya Misri, kilio ambacho hakijapata kutokea, wala hakitatokea tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 11:6
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini kati ya Waisraeli hakuna hata imbwa atakayemufokea mutu wala nyama kusudi upate kutambua kwamba mimi Yawe ninaweka tofauti kati ya Waisraeli na Wamisri.’ ”


Basi mufalme, watumishi wake na wakaaji wote wa Misri wakaamuka usiku. Kukakuwa kilio kikubwa katika inchi yote ya Misri kwa maana hakukuwa hata nyumba moja ambamo mutu hakukufa.


Kisha Yawe akamwambia: “Nimeona mateso ya watu wangu wanaokuwa katika inchi ya Misri na nimesikia kilio chao kinachosababishwa na watesaji wao. Ninajua mateso yao,


Kwa hiyo kesho, wakati kama huu, nitaleta mvua kubwa ya mawe ambayo haijatokea katika inchi ya Misri, tangu mwanzo wake mpaka leo.


Anayekataa kusikia kilio cha masikini hatasikilizwa atakapolilia musaada.


Kilio kimesikilika pote katika inchi ya Moabu, maombolezo yao yamefika Eglaimu, yamefika hata mpaka Beri-Elimu.


Siku ile watu wa Misri wataogopa kama wanawake. Watatetemeka kwa hofu watakapomwona Yawe wa majeshi ameunyoosha mukono wake juu yao.


Yawe anasema hivi: Sauti imesikilika katika muji wa Rama, maombolezo na kilio cha uchungu. Rakeli anawalilia watoto wake, wala hataki kufarijiwa kwa ajili yao, maana wote hawako tena.


Ingawa ninaita na kuomba musaada anazuiza maombi yangu yasimufikie.


Kutakuwa kilio katika mashamba yote ya mizabibu; maana nitapita kati yenu kwa kuwaazibu. Ni Yawe anayesema hivyo.


Siku hiyo, kutasikilika kilio kutoka Mulango wa Samaki, maombolezo kutoka Mutaa wa Pili, na mulio mukubwa kutoka katika milima. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Na kule mutalia na kusaga meno, mutakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika Ufalme wa Mungu. Lakini ninyi mutakuwa mumetupwa inje!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ