Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 10:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Nzige wale watajaa katika nyumba zako, nyumba za wakubwa wako na za Wamisri wote. Watakuwa wengi kiasi ambacho hata wazee wenu hawajapata kuona tangu walipozaliwa, mpaka leo.’ ” Basi, Musa akatoka kwa mufalme wa Misri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 10:6
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haitakuwa vile! Ni wanaume tu watakaokwenda kumutumikia Yawe, maana hilo ndilo munalotaka.” Halafu Musa na Haruni wakafukuzwa toka mbele ya mufalme.


Kutakuwa kilio kikubwa katika inchi yote ya Misri, kilio ambacho hakijapata kutokea, wala hakitatokea tena.


Musa akamalizia kwa kumwambia mufalme: “Watumishi wako hawa watanifikia na kuinama mbele yangu kwa heshima, wakinisihi niondoke katika inchi ya Misri, mimi pamoja na watu wote wanaonifuata. Nyuma ya hayo, nitaondoka.” Kisha Musa, akiwa amekasirika, akaondoka kwa mufalme wa Misri.


Halafu mufalme wa Misri akawaita Musa na Haruni, akawaambia: “Munaweza kwenda kutoa sadaka kwa Mungu wenu, lakini ikuwe humuhumu katika inchi ya Misri.”


Lakini wachawi wa Misri kwa uchawi wao vilevile wakaleta vyura katika inchi ya Misri.


Kwa hiyo kesho, wakati kama huu, nitaleta mvua kubwa ya mawe ambayo haijatokea katika inchi ya Misri, tangu mwanzo wake mpaka leo.


mvua kubwa ya mawe iliyofuatana na mufululizo wa umeme, ambayo hakuna mwanainchi yeyote wa Misri aliyepata hata kidogo kushuhudia mbele.


Hiyo ni siku ya giza na huzuni; siku ya mawingu na giza nene. Jeshi kubwa linakaribia kama giza linalofunikia milima. Namna hiyo haijapata kuwa hata kidogo wala haitaonekana tena katika vizazi vyote vinavyokuja.


Wanashambulia muji, wanakimbia juu ya ukuta; wanapanda juu ya nyumba na kuingia, wanapenya katika madirisha kama wezi.


Kwa njia ya imani, Musa alitoka katika inchi ya Misri bila kuogopa kasirani ya mufalme. Na kama vile mutu mwenye kumwona Mungu asiyeonekana, yeye hakurudi nyuma.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ