Kutoka 10:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
11 Haitakuwa vile! Ni wanaume tu watakaokwenda kumutumikia Yawe, maana hilo ndilo munalotaka.” Halafu Musa na Haruni wakafukuzwa toka mbele ya mufalme.
Mufalme wa Misri akawaambia: “Basi, Yawe akuwe pamoja nanyi kama nitawaruhusu mujiendee na watoto wenu. Ni wazi kwamba muko na nia mbaya ndani ya moyo wenu.