Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Naye akawaambia watu wake: “Muangalie jinsi Waisraeli wanavyokuwa wengi na wenye nguvu kuliko sisi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 1:9
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Abimeleki akamwambia Isaka: “Ondoka kwetu, maana wewe umetuzidi nguvu.”


Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kwenda Misri. Utakapokuwa kule, nitakufanya kuwa taifa kubwa.


Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Tena mufalme akasema: “Hawa watu ni wengi nanyi munataka waache kufanya kazi!”


Utukufu wa mufalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mutawala anaangamia.


Kasirani ni kali na hasira inaangamiza; lakini ni nani anayeweza kupingana na wivu?


Tena nilitambua kwamba mutu anatoa jasho na kutumia ujuzi wake juu ya wivu tu kwa mwenzake. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


Musizani kwamba ni kwa bure Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anasikia wivu sana kwa ajili ya yule Roho aliyemuweka akae ndani yetu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ