Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Basi, kukatokea mufalme mwingine kule Misri ambaye hakumujua Yosefu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 1:8
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea watumishi wake vibaya.


Kwenda uwakusanye wazee wa Israeli na kuwaambia kwamba: Yawe, Mungu wa babu wao, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo, amekutokea na kusema: ‘Nimewachunguza ninyi na kuyaona mambo munayotendewa katika inchi ya Misri!


Kisha Yawe akamwambia: “Nimeona mateso ya watu wangu wanaokuwa katika inchi ya Misri na nimesikia kilio chao kinachosababishwa na watesaji wao. Ninajua mateso yao,


Hakika, kilio cha Waisraeli kimenifikia; nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.


Katika muji ule, kulikuwa masikini mumoja mwenye hekima ambaye, kwa hekima yake, aliokoa muji ule. Lakini hakuna mutu aliyemukumbuka yule masikini kisha.


Halafu kukakuwa mufalme mwingine wa inchi ya Misri, asiyemujua Yosefu.


Mufalme huyo akatendea taifa letu kwa udanganyifu, akawatesa babu zetu hata akawalazimisha kuwatupilia watoto wao wachanga kusudi wakufe.


Wamisri walitutendea kwa ukali wakatutesa na kutulazimisha kufanya kazi ngumu ya watumwa.


Kisha watu wote wa kizazi chake wakakufa, kizazi kingine kikafuata ambacho hakikumujua Yawe wala matendo aliyowatendea watu wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ