3 Isakari, Zebuluni, Benjamina,
Wana wa Lea walikuwa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuluni.
Rubeni, Simeoni, Lawi, Yuda,
Dani, Nafutali, Gadi, na Aseri.
na mustari wa ine utakuwa wa zabarajadi, shohamu na yaspi. Yote yatatiwa kwenye kingo za zahabu.