Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 1:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Ni lazima tutafute werevu wa kuwapunguza na kuzuia wasiongezeke; kama sivyo, vita ikitokea watajiunga na waadui zetu na kutoroka inchi.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 1:10
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anawanasa wenye hekima kwa werevu wao, anakomesha mara moja mipango ya waovu.


Waovu wanatesa wamasikini kwa kiburi. Mitego yao iwanase wao wenyewe!


Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea watumishi wake vibaya.


Wakisema: “Twende kuvizia mutu na kumwua; kuja tuwashambulie wasiokuwa na kosa!


Kuna njia mutu anayoona kuwa sawa, lakini kwa mwisho inaongoza kwenye kifo.


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


Kuja sasa uwalaani watu hawa kwa ajili yangu maana wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwashinda na kuwafukuza wasiingie katika inchi yangu, kwa maana unajua kwamba wewe ukimubariki mutu anabarikiwa, ukimulaani mutu analaaniwa.


Kesho yake kulipokucha, Wayuda wakafanya shauri; wakafanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.


Mufalme huyo akatendea taifa letu kwa udanganyifu, akawatesa babu zetu hata akawalazimisha kuwatupilia watoto wao wachanga kusudi wakufe.


Lakini wakubwa wa Wafilistini walimukasirikia sana Akisi, wakamwambia: “Umurudishe aende pahali ulipomupa akae. Asiende hata kidogo pamoja nasi kwa vita, kama sivyo wakati wa vita atageuka na kuwa adui yetu. Hauoni kwamba mutu huyu atapata njia nzuri ya kupatana na bwana wake halafu kuwa adui yetu katika vita?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ