Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kumbukumbu la Sheria 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 “Hivyo tukaendelea na safari yetu, tukawapita wandugu zetu, wazao wa Esau ambao waliishi Seiri, tukaepuka vilevile ile njia ya bonde na sehemu za miji ya Elati na Esioni-Geberi. Kisha tukageuka tukafuata njia ya kupitia jangwa la Moabu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kumbukumbu la Sheria 2:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia: “Mataifa mawili yako ndani ya tumbo lako; makabila mawili yatakayozaliwa nawe, yatatengana. Moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, mukubwa atamutumikia mudogo.”


Mufalme Solomono alitengeneza mashua nyingi kule Ezioni-Geberi, karibu na Eloti kwa kivuko cha bahari Nyekundu, katika inchi ya Edomu.


Nyuma ya kifo cha baba yake, Azaria akaujenga upya muji wa Elati na kuurudisha kwa Yuda.


Wakati ule, mufalme wa Edomu aliuteka akawarudishia Waedomu muji wa Elati na kuwafukuza watu wa Yuda waliokaa mule. Nao Waedomu wakaingia Elati na kufanya makao yao kule mpaka sasa.


Waisraeli wakafunga safari kutoka mulima Hori, wakapitia njia inayoelekea bahari Nyekundu kusudi wazunguke inchi ya Edomu. Lakini katika njia watu wakavunjika moyo.


Kutoka Abarona, wakapiga kambi yao Esioni-Geberi.


Kitabu hiki kina maneno ambayo Musa aliwaambia watu wote wa Israeli wakati walipokuwa katika jangwa upande wa mashariki wa muto Yordani. Walikuwa katika bonde la Yordani karibu na Sufu, kati ya muji wa Parani upande mumoja na miji ya Tofeli, Labani, Hazeroti na Dizahabu upande mwingine.


Kisha wakasafiri wakipitia katika jangwa kuzunguka inchi ya Edomu na Moabu mpaka walipofika upande wa mashariki wa Moabu, wakapiga kambi ngambo ya muto Arnoni. Lakini hawakuingia katika eneo la Moabu. Muto Arnoni ndio uliokuwa mupaka wa Moabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ