2 Kisha Yawe akaniambia:
“Kisha, tukageuka, tukasafiri katika jangwa kwa kupitia njia ya bahari Nyekundu, kama vile Yawe alivyoniambia. Tukatangatanga karibu na mulima Seiri kwa muda murefu.
‘Mumetangatanga ya kutosha katika inchi hii ya milima. Sasa mugeuke muelekee upande wa kaskazini.