Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kumbukumbu la Sheria 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 “Basi, nikatengeneza sanduku la mushita na vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nikavitwaa katika mukono, nikapanda navyo kwenye mulima.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kumbukumbu la Sheria 10:3
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Musa akachonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza. Akaondoka asubui mapema, akapanda juu ya mulima Sinai, kama vile Yawe alivyomwamuru, akiwa na vile vibao viwili vya mawe katika mikono yake.


Waisraeli watengeneze sanduku la mbao za mujohoro, lenye urefu wa sentimetre mia moja na kumi, upana sentimetre makumi sita na sita, na urefu kwenda juu sentimetre makumi sita na sita.


ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za mbuzi, mbao za mujohoro,


“Kisha Yawe akaniambia: ‘Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, na sanduku la mbao. Kuja kwangu huku juu kwenye mulima,


Ndani ya chumba kile kulikuwa chombo cha kufukizia ubani, kilichotengenezwa na zahabu. Na kulikuwa vilevile Sanduku la Agano lililopakaliwa zahabu pande zote. Ndani ya sanduku lile kulikuwa kopo la zahabu lenye mana, na fimbo ya Haruni iliyoota vichipukizi juu yake. Kulikuwa vilevile vibao vya mawe vyenye Maandiko ya Agano la Mungu.


Akatengeneza miti ya mujohoro na kuipakaa shaba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ