Kumbukumbu la Sheria 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 “Basi, nikatengeneza sanduku la mushita na vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nikavitwaa katika mukono, nikapanda navyo kwenye mulima. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Ndani ya chumba kile kulikuwa chombo cha kufukizia ubani, kilichotengenezwa na zahabu. Na kulikuwa vilevile Sanduku la Agano lililopakaliwa zahabu pande zote. Ndani ya sanduku lile kulikuwa kopo la zahabu lenye mana, na fimbo ya Haruni iliyoota vichipukizi juu yake. Kulikuwa vilevile vibao vya mawe vyenye Maandiko ya Agano la Mungu.