Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kumbukumbu la Sheria 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 nami nitaandika maneno yaliyokuwa yameandikwa katika vibao vile ulivyovunja, kisha uweke vibao hivyo katika sanduku’.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kumbukumbu la Sheria 10:2
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hakukukuwa kitu ndani ya Sanduku la Agano lakini vile vibao viwili vya mawe ambavyo Musa aliviweka mule kule Horebu, pahali Yawe alipofanya agano na Waisraeli walipotoka katika inchi ya Misri.


Ndani ya chumba kile kulikuwa chombo cha kufukizia ubani, kilichotengenezwa na zahabu. Na kulikuwa vilevile Sanduku la Agano lililopakaliwa zahabu pande zote. Ndani ya sanduku lile kulikuwa kopo la zahabu lenye mana, na fimbo ya Haruni iliyoota vichipukizi juu yake. Kulikuwa vilevile vibao vya mawe vyenye Maandiko ya Agano la Mungu.


Nikageuka, nikashuka kutoka kwenye mulima, nikaweka vibao hivyo ndani ya sanduku nililokuwa nimetengeneza, na vimo ndani ya sanduku hilo, kama vile Yawe alivyoniamuru.”


Naye akawatangazia agano lake akawaamuru mulishike maana yake mutii zile amri kumi ambazo aliandika juu ya vibao viwili vya mawe.


Kisha akatwaa vile vibao viwili vya mawe na kuviweka katika lile sanduku. Akapitisha ile miti katika vikomo vya sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.


Yawe akamwambia Musa: Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nami nitaandika maneno yale yaliyokuwa katika vile vibao vya kwanza ulivyovunja.


Ndani ya Sanduku la Agano, hamukukuwa kitu kingine isipokuwa tu vile vibao viwili ambavyo Musa aliviweka mule kule Horebu, pahali Yawe alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka Misri.


Mara tu walipokaribia kambi walimwona yule mwana-ngombe na watu wakicheza. Hapo hasira ya Musa ikawaka kama moto, akatupa chini vile vibao kutoka mikono yake na kuvivunja pale chini ya mulima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ