9 Musa akawaambia watu: “Tulipokuwa tungali kwenye mulima Sinai, mimi niliwaambia hivi: ‘Siwezi mimi mwenyewe kubeba muzigo wa kuwaongoza ninyi peke yangu.
Utajichokesha mwenyewe na hawa watu, maana hii ni kazi ngumu usiyoweza kuifanya peke yako.
Musa akasikiliza shauri lile la baba mukwe wake na kufanya kama vile alivyoshauriwa.
Nitashuka kule na kuzungumuza nawe; nitatwaa sehemu ya roho niliyokupa, niwape watu hao. Nao watabeba muzigo wa kuwatunza watu hawa pamoja nawe, kusudi usibebe muzigo huo peke yako.
Hapo wazee wa muji watamupeleka yule mwanaume na kumwazibu.