Kumbukumbu la Sheria 1:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200241 “Kisha mukanijibu: ‘Sisi tumemutendea Yawe zambi, lakini sasa tutakwenda na kupigana kama vile Yawe, Mungu wetu alivyotuamuru’. Hivyo, kila mumoja wenu akajitayarisha kupigana vita, maana mulifikiri kwamba lingekuwa jambo jepesi kuishambulia inchi hiyo ya milima. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |