Isaya 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Kwa hiyo, Yawe hawahurumii vijana wao, hana huruma juu ya wayatima na wajane wao; maana hakuna hata mumoja anayemufuata, kila mutu anasema upumbafu. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |