5 Waaramu na vilevile Peka pamoja na jeshi lake la Efuraimu wamefanya mupango mubaya juu yako. Wamesema:
Wafalme wa dunia wanajitayarisha, watawala wanashauriana pamoja kumwasi Yawe na muchaguliwa wake.
Mufalme wa Yuda alipopata habari kwamba Waaramu wanashirikiana na Waisraeli, yeye pamoja na watu wote wa Yuda waliogopa na kutetemeka kama miti inayotikiswa na upepo.
Tuende kushambulia inchi ya Yuda, tuwaogopeshe watu wake, tuitwae inchi na kumuweka mwana wa Tabeali kuwa mufalme wao.
Ndani yako kumetoka mumoja aliyepanga maovu juu ya Yawe. Huyu mutu anafanya shauri baya sana.
Lakini nimekasirikia sana mataifa ambayo yanastarehe. Nilikuwa ninayakasirikia kidogo, lakini yaliwaongezea hasara.