Isaya 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Katika siku za utawala wa Ahazi mwana wa Yotamu na mujukuu wa Uzia, wa inchi ya Yuda, Resini, mufalme wa Aramu, na Peka mwana wa Remalia, mufalme wa Israeli, walienda kuushambulia Yerusalema, lakini hawakuweza kuunyanganya. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |