Isaya 66:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Namna gani ninaweza kumufikisha mutoto kwa saa ya kuzaliwa, halafu nimuzuize asizaliwe? –Ni Yawe anayesema hivyo.– Au mimi mwenye kuwajalia watoto, namna gani nitafunga uzazi? –Ni Mungu wenu anayesema hivyo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |