Isaya 65:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Hakutakuwa tena vifo vya watoto wachanga, wazee nao hawatakufa mbele ya wakati wao. Mutu wa miaka mia moja akikufa, amekufa akiwa kijana; na akikufa mbele ya miaka mia moja, ni kusema amelaaniwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |