Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 59:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Munatoa mayai ya nyoka yenye sumu, munafuma wavu wa buibui. Anayekula mayai yenu anakufa, na yakipasuliwa, nyoka anatokea ndani yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 59:5
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tegemeo lao linavunjika, tumaini lao ni utando wa buibui.


Kwa mwisho inauma kama nyoka; inachoma kama fira mwenye sumu.


Musishangilie, enyi Wafilistini wote, kwamba Asuria, fimbo iliyowapiga, imevunjika; maana, nyoka wa kawaida atazaa nyoka mwenye sumu, na nyoka mwenye sumu atazaa nyoka mukubwa mwenye kuruka.


Humo bundi watataga mayai na kuyaatamia, watatotoa vitoto na kuviweka chini ya kivuli chao. Humo tai watakutanana, kila mumoja na mwenzake.


Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.


Yoane alipoona Wafarisayo wengi na Wasadukayo wakimufikia kwa kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi kikundi cha nyoka! Ni nani aliyewaambia kwamba munaweza kuponyoka azabu ya Mungu inayokaribia?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ