Isaya 58:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Mafungo ya kweli ni kugawanya chakula chako pamoja na wenye njaa, kuwakaribisha katika nyumba yako wamasikini wasiokuwa na makao, kuwavalisha wasiokuwa na nguo, bila kusahau kuwasaidia wandugu zenu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Wale wakubwa waliotajwa majina yao waliwatwaa wafungwa na kwa kutumia vitu vilivyonyanganywa wakawavalisha wafungwa ambao hawakukuwa na nguo; waliwapatia viatu, chakula na vinywaji, na kuwapakaa mafuta. Wale ambao walikuwa hawajiwezi, wakawabeba juu ya punda, wakawapeleka wafungwa wote mpaka Yeriko, muji wa mingazi, kwa wandugu zao; kisha wao wakarudi Samaria.