Isaya 58:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Munapofunga kula, ninyi munajitaabisha; munaviinamisha vichwa vyenu kama utete, na kulalia nguo za magunia na majivu. Hii ndio munayoita mafungo ya kula chakula? Hiyo ni siku inayonipendeza mimi? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |