Isaya 58:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Ninyi munaniuliza: Kwa nini tunafunga kula lakini wewe hauoni? Mbona tunajitesa, lakini wewe haujali? Ukweli ni kwamba wakati munapofunga kula, munatafuta tu furaha yenu wenyewe na kuwagandamiza watumishi wenu! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |