Lakini mimi nikafikiri: Nimeshugulika bure, nimetumia nguvu zangu bure kabisa. Hata hivyo, Yawe atanipa haki yangu; mushahara wa kazi yangu uko kwa Mungu.
huo ndio mwisho wa manabii wa Waisraeli waliotabiri mema juu ya Yerusalema na kuona maono ya amani ijapokuwa hakuna amani. Ni Bwana wetu Yawe anayesema hivyo.