Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 57:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Mungu wangu anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 57:21
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati Yoramu alipomwona Yehu, alimwuliza: “Yehu, unakuja kwa amani?” Yehu akamujibu: “Amani gani, wakati makahaba na wachawi wa Yezebeli ni wengi?”


Lakini ole kwao watu waovu! Mambo yatawaendekea vibaya, maana yale waliyotenda yatawapata wao wenyewe.


Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Lakini mimi nikafikiri: Nimeshugulika bure, nimetumia nguvu zangu bure kabisa. Hata hivyo, Yawe atanipa haki yangu; mushahara wa kazi yangu uko kwa Mungu.


Njia ya amani hamuijui hata kidogo; hamufuati sheria ya Mungu. Mumejifanyia njia potovu, yeyote anayepitia humo hapati amani.


huo ndio mwisho wa manabii wa Waisraeli waliotabiri mema juu ya Yerusalema na kuona maono ya amani ijapokuwa hakuna amani. Ni Bwana wetu Yawe anayesema hivyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ