Isaya 55:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mbona munatumia feza zenu kwa ajili ya kitu kisichokuwa chakula? Kwa nini kutoa jasho lenu kwa kitu kisichoshibisha? Munisikilize mimi kwa uangalifu, nanyi mutakula vinavyokuwa vitamu, na kufurahia vinavyokuwa bora. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |