12 Minara yako nitaijenga kwa mawe ya akiki, milango yako kwa almasi, na ukuta wako kwa mawe ya bei kali.
Kulikuwa mistari mitatu ya madirisha yaliyoelekeana.
mustari wa tatu utakuwa wa yasinto, akiki nyekundu na ametisto;
Nimekuchora wewe katika vitanga vya mikono yangu; kuta zako ninaziona mbele yangu siku zote.
Ewe Yerusalema, uliteseka, ulitaabishwa na kukosa wa kukufariji, lakini nitakujenga upya kwa mawe ya bei kali, misingi yako itakuwa ya mawe ya yakuti.
Watu wako watafundishwa nami Yawe, wana wako watapata ustawi mwingi.
utakuwa na milango mitatu: mulango wa Rubeni, mulango wa Yuda na mulango wa Lawi.
Wakati ule, Yawe, Mungu wao, atawaokoa, maana wao ni kundi lake; nao watangaa katika inchi yake kama mawe ya bei kali katika taji.
Ulikuwa ukizungukwa na ukuta mukubwa na murefu wenye milango kumi na miwili na wamalaika kumi na wawili walichunga milango ile. Na juu ya milango ile, kulikuwa kumeandikwa majina ya makabila kumi na mawili ya Waisraeli.