Isaya 53:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Alionewa na kuteswa, lakini alivumilia kwa unyenyekevu, bila kutoa sauti hata kidogo. Alikuwa kama mwana-kondoo anayepelekwa kwenda kuchinjwa, kama kondoo anavyokaa kimya anapokatwa manyoya. Hakutoa sauti hata kidogo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |