Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 51:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Nami nitakitia katika mikono ya wanaokutesa, waliokuambia ulalie tumbo wapite juu yako, nawe ukaufanya mugongo wako kama vile udongo wa njia, kama vile barabara ya kupitia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 51:23
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walinikata vidonda katika mugongo, kama wanavyolima matuta katika shamba.


Umewaacha watu watukanyage; tumepitia katika moto na katika maji. Lakini sasa umetuleta kwenye usalama.


Mutu wa haki anaokolewa katika shida, na mwovu anaingia mule kwa pahali pake.


Mwovu atakuwa malipo kwa ukombozi wa wenye haki; nao wasiokuwa waaminifu kwa pahali pa watu wa usawa.


Maana, kama walivyokunywa kikombe cha kasirani yangu kwenye mulima wangu mutakatifu, ndivyo mataifa jirani watakavyokunywa; watakunywa na kupepesuka, wataangamia na kuwa kama hawakukuwa mbele katika dunia.


Halafu adui yangu ataona hayo naye atafunikwa na haya; maana aliniambia: Basi Yawe, Mungu wako, yuko wapi? Mimi mwenyewe nitamwona adui akianguka; atakanyagwakanyagwa chini kama matope katika njia.


Nitaufanya Yerusalema kuwa kama kikombe cha divai; na mataifa yanayokuwa kandokando yake yatakunywa na kuyumbayumba kama walevi. Muji Yerusalema utakaposhambuliwa, hata miji yote ya Yuda itashambuliwa.


Wafalme hao walipoletwa, Yoshua akawaita Waisraeli wote na wakubwa wa waaskari waliokwenda naye kwa vita, akawaambia: “Mukuje karibu muwakanyage wafalme hawa kwenye shingo yao.” Nao wakasogea na kuwakanyaga kwenye shingo.


Lakini uache kiwanja kinachokuwa inje ya hekalu, usikipime kwa maana kimetolewa kwa watu wa mataifa mengine watakaokanyaga muji mutakatifu kwa muda wa miezi makumi ine na miwili.


Yule mwanamuke uliyemwona, ni ule muji mukubwa unaotawala wafalme wa dunia.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ