Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 50:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mimi ninafunika anga kwa giza, na kulivalisha nguo ya kilio.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 50:3
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia Musa: “Nyoosha mukono wako juu mbinguni kusudi giza nzito litokee katika inchi ya Misri, giza nzito sana ambalo mutu ataweza kulipapasa.”


Nyota na vikundi vyake katika anga hazitaangaza; jua linapochomoza litakuwa giza, na mwezi hautatoa mwangaza wake.


na kuiangalia dunia, lakini wataona tu taabu, giza na mateso makubwa. Hakuna atakayeepuka giza hilo kubwa.


Kwa hiyo, inchi itaomboleza, na mbingu zitakuwa nyeusi. Maana nimesema nami sitabadilisha nia yangu; nimeamua, wala sitarudi nyuma.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa sita, kukakuwa tetemeko kubwa la dunia; jua ikageuka kuwa nyeusi kama nguo ya kilio na mwezi ukageuka kuwa mwekundu kama damu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ