Isaya 50:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Yawe anasema hivi: Kama nimeachana na mama yako Yerusalema, barua ya kuachana iko wapi? Nilikuwa na deni ya nani kwa kuwauzisha? Mukumbuke kwamba muliuzishwa kwa ajili ya maovu yenu, mama yenu alifukuzwa kwa ajili ya makosa yenu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |