Isaya 5:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Kwa hiyo hasira ya Yawe iliwawakia watu wake, akaunyoosha mukono wake juu yao, akawaazibu. Milima ikatetemeka, maiti zao zikakuwa kama takataka katika barabara za muji. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |