Isaya 5:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Kwa hiyo, kama vile moto unavyoteketeza nyasi, kama vile majani yanavyotoweka ndani ya moto, ndivyo mizizi yao itakavyooza, na maua yao yatakavyopeperushwa juu kama mavumbi. Maana wameacha sheria ya Yawe wa majeshi, wamezarau neno la yule Mutakatifu wa Israeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |