Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 46:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mukumbuke jambo hili na kufikiri, mujiulize ndani ya mioyo yenu enyi waasi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 46:8
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wote wanaoitengeneza wanafanana nayo, na hata vilevile wote wanaoitumainia.


Wote walioifanya wafanane nayo, kila mumoja anayeitegemea!


Ulijisemesha ndani ya moyo: “Nitakuwa malkia milele”, nawe haukufikiri juu ya mambo yanayotokea, wala kuwaza juu ya mwisho wake.


Haujapata kuyasikia wala kuyajua hata kidogo; tangu zamani masikio yako hayakuyasikia. Nilijua kwamba wewe ni mudanganyifu, na kwamba wewe ni mwasi tangu kuzaliwa.


Yawe anasema hivi: Kama nimeachana na mama yako Yerusalema, barua ya kuachana iko wapi? Nilikuwa na deni ya nani kwa kuwauzisha? Mukumbuke kwamba muliuzishwa kwa ajili ya maovu yenu, mama yenu alifukuzwa kwa ajili ya makosa yenu.


Wote ni wajinga na wapumbafu, fundisho la sanamu hizi ni mazarau matupu!


Kwa sababu amefikiri, akaachana na makosa aliyoyafanya, hakika ataishi; hatakufa.


Basi, Yawe wa majeshi anasema hivi: Mufikiri vizuri juu ya namna munavyofanya!


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mufikiri vizuri juu ya namna munavyofanya!


Basi akaanza kufikiri yeye mwenyewe na kujisemesha: ‘Watumishi wote wa baba yangu wana vyakula kwa uwingi, nami huku ninakufa na njaa!


Wandugu zangu, musikuwe kama watoto kwa kufikiri: lakini katika mambo mabaya, iwatokee kutenda kama watoto wachanga. Inafaa mafikiri yenu yakuwe kama ya watu wazima.


Kwa maana yote yanayoonekana wazi yanageuka mwangaza. Ni kwa hiyo inasemwa hivi: “Amuka wewe unayelala! Ufufuke kutoka kati ya wafu, naye Kristo atakuangazia.”


Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwa namna gani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ