Isaya 46:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Wanajibebesha sanamu hiyo juu ya mabega na kuipeleka, kisha wanaiweka pahali pake, nayo inakaa palepale; haiwezi hata kidogo kusogea kutoka pale inapokuwa. Mutu akiililia, haiwezi kumwitikia, wala haiwezi kumwokoa mutu katika taabu zake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |