12 Wote wanaokaa katika inchi za mbali, wamutukuze na kumusifu Yawe.
Wamasikini watakula na kushiba; wanaomutafuta Yawe watamusifu. Mungu awajalie waishi milele!
Muimbe kwa ajili ya utukufu wa jina lake, mumusifu kwa utukufu!
Yawe anatawala! Furahi, ee dunia! Mufurahi, enyi visanga vingi!
Siku hiyo mutasema: Mumushukuru Yawe, muombe kwa jina lake. Mujulishe kwa mataifa matendo yake, mutangaze kuwa jina lake limetukuzwa.
Yeye hataregea wala kuchoka, mpaka atakapoimarisha sheria yangu katika dunia. Watu wa mbali wanangojea mafundisho yake.
watu niliowaumba kwa ajili yangu mwenyewe, kusudi wazitangaze sifa zangu!
Basi mufanye sanamu zenu za majipu na sanamu za panya, vitu ambavyo vinaangamiza inchi yenu, nanyi mutamutukuza Mungu wa Israeli. Labda ataacha kuwaazibu ninyi wenyewe, miungu yenu na inchi yenu.