Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 40:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Yeye anawapatia nguvu wanaokuwa zaifu, anawaongezea nguvu wale wanaoregea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 40:29
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini upinde wake bado imara, na mikono yake imepewa nguvu, kwa uwezo wa Mwenye Nguvu wa Yakobo, kwa jina la Muchungaji, Mulinzi wa Israeli.


Walifanya hivyo kwa kututisha wakifikiri: “Hawataendelea na kazi, kwa hiyo, hakuna litakalotendeka.” Nikamwomba Mungu wangu nikisema: “Lakini sasa, ee Mungu, ninakuomba unipe nguvu.”


Yawe awape watu wake nguvu! Yawe awabariki watu wake kwa amani!


Ee Mungu, ulinyeshea inchi mvua nyingi, ulitia tena inchi yako nguvu ilipokuwa imechakaa.


Mutambue nguvu za Mungu; yeye anatawala juu ya Israeli, mamlaka yake yanafika katika mbingu.


Basi, usiogope, mimi nipo pamoja nawe. Usifazaike, mimi ni Mungu wako. Nitakuimarisha na kukusaidia; nitakulinda kwa mukono wangu wa ushindi.


Bwana wetu Yawe amenifundisha jinsi ya kusema, kusudi niwatie moyo wale waliochoka. Kila asubui ananipa hamu ya kusikiliza mambo anayotaka kunifundisha.


Waliochoka nitawachangamusha, na waregevu nitawapa nguvu.


Mimi nitawaimarisha watu wangu, nao watanitii na kuishi kwa kunipendeza. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Kwa sababu hii hatukati tumaini hata kidogo. Ijapokuwa hali yetu ya kimwili inaharibika, hali yetu ya kiroho inafanywa upya siku kwa siku.


Miji yako itakuwa ya chuma na shaba. Usalama wako utadumu maisha yako yote!”


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Mungu atawatia nguvu kwa uwezo wake wenye utukufu, kusudi mupate kuvumilia kila kitu pasipo kuchoka. Basi kwa furaha,


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


Mungu akafungua pahali palipokuwa shimo kule Lehi, akatiririsha maji. Samusoni akakunywa maji hayo na nguvu zake zikamurudilia. Chemichemi hiyo ikaitwa “Kisima cha Yule Anayeita” nayo iko kule Lehi mpaka leo.


Pinde za wenye nguvu, zimevunjika. Lakini wazaifu wanaendelea kupata nguvu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ