Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 40:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Anafanana na sanamu? Hiyo, fundi anaichonga, mufuaji wa zahabu anaipakaa zahabu, na kuitengenezea mukufu wa feza!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 40:19
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Miungu ya uongo ya mataifa ni feza na zahabu, imetengenezwa kwa mikono ya wanadamu.


Wote walioifanya wafanane nayo, kila mumoja anayeitegemea!


Siku hiyo, watu watawatupia panya na popo sanamu za feza na zahabu walizojitengenezea kusudi waziabudu.


Inchi yao imejaa sanamu za miungu, watu wake wanaabudu kazi ya mikono yao, vitu walivyotengeneza wao wenyewe.


Mutazihesabu sanamu zenu za miungu zilizopakwa feza na zahabu kuwa uchafu. Mutazitupilia mbali kama takataka, mukisema: Mupotelee mbali!


Sanamu hizo zinapambwa kwa feza kutoka Tarsisi, na zahabu kutoka Ofiri; zilitengenezwa na wafundi na wafua zahabu. Zimevalishwa nguo nzuri za rangi ya samawi na nyekundu-nyeusi, zilizofumwa na wafundi wa kufuma.


Walikunywa na kusifu sanamu za miungu iliyotengenezwa na zahabu, feza, shaba, chuma, miti na mawe.


Ile sanamu inatoka Israeli, ni fundi ndiye aliyeitengeneza. Yenyewe si Mungu hata kidogo. Kweli! Sanamu ya mwana-ngombe ya Samaria itavunjwavunjwa!


Mika alipomurudishia mama yake hiyo feza, mama yake akatwaa vikoroti vya feza mia mbili akamupatia mufua feza ambaye alifua sanamu ya kuchonga na ya kuyeyushwa. Sanamu hiyo ikawekwa katika nyumba ya Mika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ