Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 40:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Yawe alitaka shauri toka kwa nani, halafu akapata kuwa mwenye akili? Nani aliyemufundisha kuhukumu kwa haki? Nani aliyemufundisha maarifa, na kumwonyesha namna ya kuwa na akili?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 40:14
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya maji.


Mwanadamu anaweza kumufundisha Mungu maarifa, Mungu ambaye anahukumu wakaaji wa mbinguni?


Nani basi aliyeweza kumupangia njia yake, au anayeweza kumwambia: “Umekosa”?


Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya dunia? Uniambie, kama una maarifa.


Uniongoze katika njia ya amri zako, maana humo ninapata furaha yangu.


Nimeangalia vizuri sana, lakini simwoni mutu yeyote; hakuna yeyote kati ya hao miungu anayeweza kushauri; nikiuliza, hakuna anayeweza kunijibu.


kwa maana hazina zote za hekima na elimu zimefichwa ndani yake.


Kila zawadi nzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu kwa Mungu Baba aliyeumba miangaza yote inayokuwa katika mbingu. Mungu hawezi kubadilika wala kugeuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ