Lakini ni nani kati ya manabii hao aliyehuzuria katika baraza la Yawe, hata akasikia na kuelewa neno lake? Au ni nani aliyejali neno lake, hata akalielewa?
Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Ni nani anayejua mawazo ya Bwana? Ni nani anayeweza kumushauria?” Lakini sisi tuko na mawazo yanayotoka kwa Kristo.