Isaya 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Siku ile, tawi Yawe atakalochipuza litakuwa zuri na tukufu, nayo matunda ya inchi yatakuwa na heshima na utukufu kwa wale Waisraeli watakaobaki. Waisraeli watakaobaki watasifiwa na kujivunia mazao ya inchi yao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |