21 Isaya alikuwa amesema: Mutwae mukate wa tini na kuuweka kwenye jipu lake, apate kupona.
Basi Yesu akamwondoa yule mutu kati ya kundi, akaenda naye mbali kidogo, akamutia vidole ndani ya masikio, akatema mate na kumugusa ulimi kwa mate yale.
Yesu alipokwisha kusema vile, akatema mate chini, akayavuruga pamoja na mavumbi na kufanya matope kidogo, akayapakaa kwa macho ya yule kipofu