Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 38:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Lakini niseme nini: yeye mwenyewe aliniambia, naye mwenyewe ametenda hayo. Usingizi wangu wote umenitoroka kwa sababu ya uchungu ndani ya moyo wangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 38:15
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini, Ahabu aliposikia maneno hayo, akapasua nguo zake, akavaa gunia peke yake, akafunga, akakuwa analala na gunia, na kwenda huko na huko kwa huzuni.


Alipofika kwenye mulima kwa mutu wa Mungu, akamushika miguu, naye Gehazi akakaribia kusudi amwondoe. Lakini mutu wa Mungu akamwambia: “Umwache, maana ana uchungu mukali, naye Yawe hakunijulisha jambo hilo.”


“Lakini sasa, ee Mungu wetu, tuseme nini nyuma ya hayo yote? Maana, tumeziasi amri zako


Ninachukia maisha yangu! Malalamiko yangu nitayasema bila kizuizi. Nitasema kwa uchungu wa moyo wangu.


Mwingine anakufa na huzuni kubwa ndani ya moyo, akiwa hajaonja bado jambo lolote jema.


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kusema. Nitasema kwa kusongwa kwa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.


Ninamupenda Yawe, kwa maana ananisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu.


Umupe mutu anayekaribia kufa kinywaji kikali, uwape divai wale wenye huzuni tele;


Nilipata mateso makali kwa faida yangu; lakini umeyaokoa maisha yangu kutoka shimo la uharibifu, maana umezitupa zambi zangu nyuma yako.


“Sasa roho yangu inafazaika. Nami sijui niseme nini. Nimwombe Baba, aniokoe toka mambo yale yatakayofika saa hii? Hapana, kwa sababu nimefika kwa ajili ya yale yatakayofanyika saa hii.


Ee Bwana, niseme nini wakati Waisraeli wamewakimbia waadui zao?


Hana alikuwa na huzuni sana. Na alipokuwa anamwomba Yawe akakuwa analia kwa uchungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ