Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 38:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Usiku kucha nililia kwa kuomba musaada; kama simba, anavunjavunja mifupa yangu; muchana na usiku ananikomesha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 38:13
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akamwambia: “Kwa sababu umekataa kutii amri ya Yawe, basi, mara tu utakapoachana nami, simba atakuua.” Na kweli, mara tu alipoachana naye, akakutana na simba, akamwua.


Siku zangu zinapita mbio kuliko gurudumu la mushonaji, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.


Muchana na usiku mukono wako ulinilemea; nguvu zangu zikakwisha, kama maji yanavyokauka wakati wa kipwa.


Niko kama bubu, sisemi kitu, kwa maana wewe ndiwe uliyetenda hayo.


“Mufikiri vizuri jambo hili, enyi musionijali, kama sivyo nitawaangamiza, wala hakuna atakayewaokoa.


Wewe unataka moyo wa ukweli; hivyo unifundishe kuwa na moyo wa hekima.


Ee Yawe, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe. Uniokoe kutoka wote wanaonitesa, uniponyeshe.


Unatowesha mbali watu kama ndoto! Wanadamu ni kama majani yanayochipuka asubui:


Amenichakalisha ngozi na nyama, ameivunja mifupa yangu.


Kwa hiyo mufalme akafurahi sana; akaamuru kwamba wamwondoe Danieli toka ndani ya pango. Basi wakamwondoa, naye hakuonekana na alama hata kidogo ya kidonda, kwa sababu alimutegemea Mungu wake.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ